Psalms 116:1-2

Shukrani Kwa Kuokolewa Kutoka Mauti

1 aNinampenda Bwana kwa maana amesikia sauti yangu;
amesikia kilio changu ili anihurumie.
2 bKwa sababu amenitegea sikio lake,
nitamwita siku zote za maisha yangu.
Copyright information for SwhNEN